Kusambaza na kuuza
unga wa lishe
kwa reja reja
Duwaa company tunasambaza unga wetu katika maeneo mbalimbali mfano shuleni,hospitalini,na ofisi mbalimbali za serikali na binafsi kwa mtumishi mmoja mmoja kwa gharama ya TZS 10000 kwa paketi moja ya 1.5kg pia tunatuma na mzigo unakufikia mahali ulipo kwa gharama zetu.Karibuni sana kwetu mteja ni mfalme