Duwaa Company

Kuhusu sisi

kuhusu sisi

Duwaa Company ilianzishwa november 2024 na kusajiliwa tarehe 10-01-2025 kama jina la biashara kwa Lengo la kuboresha afya za watumiaje wake kupitia lishe ya uji ambao unapendwa na kutumiwa na watu wa rika zote. Hadi sasa tumewafikia wateja zaidi ya 150 kwa huduma zetu kupitia mashuleni, zahanati, hospitali na ofisi za serikalinzilizopo wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro, Tunazalisha unga wa lishe na kuuza kwa gharama ya TZS 10,000 kwa pakiti ya kilo moja na nusu.

MAONO YETU

Ifikapo 20230 Duwaa Company inatarajia kuuza unga wa lishe katika mikoa yote ya nchi ya Tanzanaia na kuwafikia wateja wasipungua millioni tatu.

Dhamira yetu

Kutoa bidhaa bora za unga lishe wenye virutubisho vipatavyo kumi na tatu(13) kama sehemu ya Tiba na kinywaji bora cha uji kwa watumiaje wake ikiwa ni pamoja na kupunguza tatizo la utapiamlo kwa watoto na kuleta hamu ya kula kwa watu wa rika zote kwa gharama nafuu na rafiki kwa Mtanzania

TIMU YETU

Ketson M Lusekelo

Ketson M Lusekelo

Meneja Mkuu
Joyce O Mwakapalila

Joyce O Mwakapalila

Meneja Uzalishaji na afisa mauzo
Aziza Mohamed

Aziza Mohamed

Afisa Mauzo
Wateja Tuliowafikia
0 +
Watoto
0 +
Watu wazima
0 +
Malengo yetu
0 +

MASWALI YANAYOULIZWA MARA KWA MARA

Huduma zetu zinapatikana katika kituo chetu kilichopo Lupiro.

Huduma hii ipo katika mchakato wa ufatiliaji katika mamlaka husika hivi karibuni zitawekwa.

Ndiyo unaweza na kurejesha kupitia namba yetu ya simu iliyo katika pakiti hii ya bidhaa baada ya mshahara kutoka

Ndiyo, Tunaweza kukutumia mahali ulipo kwa gharama za kampuni.

Mawasiliano

ketsonlusekelo789@gmail.com

0621564449

Morogoro, Ulanga

© 2025 Duwaa Company